Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Vikwazo dhidi ya utawala haramu wa Israel
Namba: 310728 Tarehe: 2012/04/24 - 10:23Rejea: ABNA.irprint

Muamko wa Kiislamu
Vikwazo dhidi ya utawala haramu wa Israel

Utawala wa Misri umeamua kukata 40% ya matumizi ya Gesi ya utawala haramu wa Israel ambayo hapo kabla Husni Mubarak alikuwa akiwapa wa Israel bure.

 

 Vikwazo dhidi ya utawala haramu wa Israel

Ripoti ya ABNA- Athari za muamko wa Kiislamu kuikumba Israel kwa kukatiwa 40% ya Gesi Nchini humo, 40% hiyo ndiyo iliokuwa akiwasaidia wa Israel kuzalisha umeme, kukatwa 40% hiyo ni mtihami kwa utawala haramu huo kwani walichokua wakipata kipindi cha Husni Mubarak sasa kimewageukia na kuwatoka kinwani.

Shirika la umeme la Israel limeeleza kuwa mnamo siku kadhaa Israel itakumbwa na upungufu wa umeme kwa kukatiwa 40% hiyo ya Gesi.

Bunge la Israel pia lilieleza kunako suala hilo; Kukatiwa Gesi ni hatari kwa Israel kwani 40% hiyo ndio ilikuwa ikitusaidia na kututosheleza katika sekta ya umeme ila sasa 40% hiyo imekatwa siku zijazo tunasubiri maafa Nchini Israel.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani